
Picha / Kikao cha kubadilishana fikra; Viongozi, wanaharakati, na muballeghina wa Sekta ya Kimataifa
Kikao cha kubadilishana fikra cha Viongozi, wanaharakati, na muballeghina wa Sekta ya Kimataifa, kikiwa na maudhui isemayo "Ulazima wa tablighi ya Kimataifa katika Arbain ya Imam Hussein (a.s.)", kimefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Ayatollah Haeri (r.a.) katika Kituo cha Usimamizi wa Hawza, mjini Qom, Iran.
Maoni yako